Biblia Takatifu ya Kiswahili
Biblia Takatifu ya Kiswahili 정보
스와힐리어의 성경 - 스와힐리어 성경
Biblia Takatifu ya Kiswahili - Swahili Bible
Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".
Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
What's new in the latest 5.6.5
Biblia Takatifu ya Kiswahili apk 정보
Biblia Takatifu ya Kiswahili의 오래된 버전
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.6.5
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.5.2
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.5.1
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.1.0
APKPure 앱을통한매우빠르고안전한다운로드
한번의클릭으로 Android에 XAPK/APK 파일을설치할수있습니다!